Cryptopotato
Member
- Dec 19, 2017
- 53
- 71
- Thread starter
-
- #21
Mkuu mimi ni mtanzania halisi ningekuwa na nia ya kuwapigia chepuo basi ningetoa ushauri na kumtaja jina kwamba broker flani ndiye bora.nilichojaribu kuwaelewesha wengine nikwamba kuna soko la hisa msimamizi ni DSM na kuwa broker wa hilo soko kyna kanuni na miongozo ambayo itamlinda mnunuaji.Hii yote ni kutaka kuwapigia mabosi wako wa huko nje chapuo ili wa hapa kwetu wakose ... Hata mbuyu ulianza kama mchicha hivyo basi kwa kuwa hiki kitu ni kigeni miongoni mwa waTanzania wengi itapendeza kama tutawaunga mkono hawa wa kwetu ili tufike kule walipofika wenzetu wa nje ..
Kila jambo na changamoto zake na changamoto hazikwepeki.
Je hili tunaloita soko la kubadilisha fedha linasimamiwa na nani na ni miongozo na sheria ipi ipi ipo kumlinda mnunuzi..je broker anatakiwa akidhi vigezo gani?.ukisema BOT yeye anasimamia beau de change na sasa amebadili vigezo kwamtu anaetaka kufungua bdchange laziza aweke 100mill chini.ukiangalia hata hao wanaojiita ma broker mwambie aweke 2m chini hawezi anategemea atakayokula kutoka kwako.
Tatizo watanzania tunapenda hela ya harakaharaka.