[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuko primary tunatakiwa kwenda na maua tukafanya short cut kwenda kuiba maua kwenye nyumba ya mshua fulani hivi.
Tuko mstarini tunamuona yule mshua anakuja, alivyofika pale ukaguzi wa fasta akayatambua maua yake. Wote wenye maua yake tukapelekwa mbele.
Kutahamaki jamaa akachomoa pistol akaishoot moja juu.
Kumbavu.
Hakubaki mtu, hadi walimu wakachana tukakutana kesho.
Na kuiba maua kwake tukaacha.
Daaah kna cku natembea road asbh nmechelewa shule na kisket chng kifup knapepea tu kutahamaki nakula konzi nzto LA kichwa...
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app