GUSSIE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,880
- 11,134
ELie Mpanzu miaka 22 kutoka congo atatambulisha hivi karibuni mitaa ya msimbazi
Elie Mpanzu alikuwa mchezaji wa As Vita club ambaye mkataba wake umetamatika msimu huu,Kwa mujibu wa manager wa Mpanzu na taratibu za Congo mkataba ukitamatiki mchezaji ni mali ya club yake ya kwanza ambayo pia mazungumzo yamekaa sawa
Kwa mujibu wa Meneja wake kila kitu kimekwenda sawa na simba lakini wanaoweza kumuongelea Elie Mpanzu kwa sasa ni Simba sports club
Manager wa Elie Mpanzu ameyasema hayo kwenye mahojiano na crown FM
Elie Mpanzu alikuwa mchezaji wa As Vita club ambaye mkataba wake umetamatika msimu huu,Kwa mujibu wa manager wa Mpanzu na taratibu za Congo mkataba ukitamatiki mchezaji ni mali ya club yake ya kwanza ambayo pia mazungumzo yamekaa sawa
Kwa mujibu wa Meneja wake kila kitu kimekwenda sawa na simba lakini wanaoweza kumuongelea Elie Mpanzu kwa sasa ni Simba sports club
Manager wa Elie Mpanzu ameyasema hayo kwenye mahojiano na crown FM