Elia Wilinasi amechapisha andiko lingine linalohusu uzalishaji wa gesi kwenye journal ya kimataifa inayoitwa Geoenergy Science and Engineering

Elia Wilinasi amechapisha andiko lingine linalohusu uzalishaji wa gesi kwenye journal ya kimataifa inayoitwa Geoenergy Science and Engineering

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habari marafiki,

Nataka kuwataarifu kuhusu andiko jipya lililochapishwa na Bwana Elia Wilinasi kwenye journal ya kimataifa inayoitwa (Geoenergy Science and Engineering) kuhusu uzalishaji wa gesi. Journal hii ina impact factor (IF) ya 5.168 na CiteScore ya 8.1 kwa mwaka 2021.

Ikumbukwe journal ya geoenergy science and engineering ni journal ya nne kwa ubora duniani kati ya journal zote zinazochapisha machapisho bora yanayohusu mafuta na gesi:

Ni habari njema kwa wale wote wanaopenda kufuatilia maendeleo katika sayansi na uhandisi wa mafuta na gesi.

Tafadhali jisikie huru kuipakua na kuisoma.

Asante!
 
Uzi umekosa wachangiaji
Kwa wengi, hizo mambo za chapisho, impact factor na citescore ni lugha za kigeni. Ukijumlisha na ukweli kwamba hatukufahamu wewe Wilinasi, basi wanakosa cha kuchangia.
LABDA.
Uanze kwa kutueleza ni nini faida za hilo chapisho, litatusaidia vipi kwenye gesi na petroli yetu, na wewe Wilinasi ni nani?
Plus, siku hizi Watanzania wanachapisha sana...
 
Back
Top Bottom