Eliezer Feleshi anaweza kuja kuwa Jaji Mkuu?

Eliezer Feleshi anaweza kuja kuwa Jaji Mkuu?

Midimay

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
3,036
Reaction score
5,039
Eliezer Mbuki Feleshi ni jina ambalo halitajwi kwenye Kada ya sheria hapa Tanzania saana isipokuwa wakati ule was DP World. Lakini huyu ni mtu ambaye hadi sasa amebakiza cheo kimoja kizito tu katika Justice system ya Tanzania.

Ni rare situation kumtokea mtu mmoja. Eliezer Feleshi amekuwa DPP, Jaji Kiongozi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na sasa Jaji wa Mahakama ya Rufani. What a lucky man. The man must be wise.

Naona utabiri wangu unaniambia merits zote zinambeba yeye kuwa Jaji Mkuu baada ya Jaji Ibrahim Juma. I wish this happens.
 
Ila kweli huyu Feleshi ana bahati sana ya vyeo. Nimepitia profile yake nikagungua kuwa ni watu wachache sana kama wapo ambao wamewahi kushika vyeo vikubwa vingi sana kwenye nyanja ya sheria kama yeye.
 
Ila kweli huyu Feleshi ana bahati sana ya vyeo. Nimepitia profile yake nikagungua kuwa ni watu wachacahe sana kama wapo ambao wamewahi kushika vyeo vikubwa vingi sana kwenye mambo ya sheria kama yeye.
Anajielewa, na sio mvivu wa kubukua alirudi pale UDSM School of Law kusomea LLD akiwa mtu mzima hivyo hivyo. Naamini wengi wetu (wakiwemo Gen Z) hawawezi hizo mambo.
 
Eliezer Mbuki Feleshi ni jina ambalo halitajwi kwenye Kada ya sheria hapa Tanzania saana isipokuwa wakati ule was DP World. Lakini huyu ni mtu ambaye hadi sasa amebakiza cheo kimoja kizito tu katika Justice system ya Tanzania.

Ni rare situation kumtokea mtu mmoja. Eliezer Feleshi amekuwa DPP, Jaji Kiongozi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na sasa Jaji wa Mahakama ya Rufani. What a lucky man. The man must be wise.

Naona utabiri wangu unaniambia merits zote zinambeba yeye kuwa Jaji Mkuu baada ya Jaji Ibrahim Juma. I wish this happens.
Kuna kundi la Akina mama waliteuliwa majaji wa Rufaa, Jaji Mkuu alivyoongezewa mkataba. Labda mabadiliko haya yabadili mambo.
 
Hapo hata Rais na tume ya utumishi wa mahakama wanakuwa hawana ujanja..😂
 
Anajielewa, na sio mvivu wa kubukua alirudi pale UDSM School of Law kusomea LLD akiwa mtu mzima hivyo hivyo. Naamini wengi wetu (wakiwemo Gen Z) hawawezi hizo mambo.
Feleshi alibebwa bebwa na akina Lowassa..... hana huo u special ni bahati tu!
 
Back
Top Bottom