Jack Daniel
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 2,912
- 12,904
Karim Mandonga, mchezaji wa masumbwi aliyejizolea umaarufu mwaka wa 2022,huku akizidi kujipatia mashabiki kupitia tambo zake, yaani namna anavyojiamini na kutoa maneno ya vitisho kama hujawahi kumfahamu kabla waweza usije ulingoni ukiogopa kifo.
Kwasasa Karim Mandonga yupo nchini Kenya, huku mashabiki na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi wakisubiri kuona Nini kitatokea.
Tukirudi kwenye msingi wa swali langu, nimemsikia kwenye Clip moja anaseme anamshukuru Rais wa Kenya 'Anthony Ruto', na anamuahidi atafanya vizuri mbele yake ili kuendelea kupush mchezo wa boxing.
Je, Ina maana kweli Mandonga na ujanja wake wote anashindwa kujua jina la Rais wa Kenya?
Hakuna mwanadamu anaweza kujua Kila kitu, lakini Mandonga kanishangaza zaidi.
Kwasasa Karim Mandonga yupo nchini Kenya, huku mashabiki na wadau mbalimbali wa mchezo wa masumbwi wakisubiri kuona Nini kitatokea.
Tukirudi kwenye msingi wa swali langu, nimemsikia kwenye Clip moja anaseme anamshukuru Rais wa Kenya 'Anthony Ruto', na anamuahidi atafanya vizuri mbele yake ili kuendelea kupush mchezo wa boxing.
Je, Ina maana kweli Mandonga na ujanja wake wote anashindwa kujua jina la Rais wa Kenya?
Hakuna mwanadamu anaweza kujua Kila kitu, lakini Mandonga kanishangaza zaidi.