Moja:
K utokana na matokeo ya form kwa wanafunzi kuandika ambavyo havihusihani na majibu mf. Mashairi ya bongo flavour, matusi nk hivi ni kweli ndo adolcence age? Au ndo hawajui walichojifunza miaka minne yote?
Mbili:
Kama mdau wa elimu nini cha kufanya kunusuru janga kuelekea competion ya federation?