Elimu iheshimiwe kwa manufaa yake

Elimu iheshimiwe kwa manufaa yake

BUMIJA

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
5,950
Reaction score
11,295
Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote.

Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma.

Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida.

Najiuliza wakienda Hospitali hao madaktari wanaowatibu si wanatumia Elimu zao?

Ni mfano tu wa hao ila mitandaoni kumeibuka wimbi kubwa la watu wakinanga na kuonyesha elimu haina manufaa.

Watoto wa maskini wanamezeshwa hizo Perspective huku watoto wa viongozi wakiendelea kupata Elimu nzuri zaidi na huenda tukatawaliwa na vizazi vile vile miaka ijayo.

Tumejengewa mifumo na misingi kwamba manufaa ya elimu ni kuajiriwa.

Dhana ya kuajiriwa inaturudisha nyuma wengi.

Lakini pamoja na ajira za kuajiriwa kupungua haimaanishi thamani ya Elimu isiwepo.

BUMIJA Tutor.
Arusha, Tanzania
 
Education is Better than money,
Elimu ni bora kuliko Pesa
 
Ni sawa. Ila huduma katika jamii zinahitaji wataalamu.
Na haimaamishi wote waliosoma wawazidi pesa ambao hawajasoma
 
 
Tatizo elimu yetu inayotolewa haiko practical, haimuandai mhitimu kuexplore mazingira yake kwa manufaa yake,matokeo yake ni kudharauliwa. Wako sawa kudharau wasomi sababu wanajua elimu inayotolewa haina quality. Ni sawa na bure kusoma.
 
Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote.

Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma.

Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida.

Najiuliza wakienda Hospitali hao madaktari wanaowatibu si wanatumia Elimu zao?

Ni mfano tu wa hao ila mitandaoni kumeibuka wimbi kubwa la watu wakinanga na kuonyesha elimu haina manufaa.

Watoto wa maskini wanamezeshwa hizo Perspective huku watoto wa viongozi wakiendelea kupata Elimu nzuri zaidi na huenda tukatawaliwa na vizazi vile vile miaka ijayo.

Tumejengewa mifumo na misingi kwamba manufaa ya elimu ni kuajiriwa.

Dhana ya kuajiriwa inaturudisha nyuma wengi.

Lakini pamoja na ajira za kuajiriwa kupungua haimaanishi thamani ya Elimu isiwepo.

BUMIJA Tutor.
Arusha, Tanzania
Mkuu walio fanya elimu ya vyuo vikuu ionekane ni bule ni wale wanaotangaza kazi serikalini wakitaka wanafunzi wa cheti waombe lkn wenye degree hyo kazi sio yao. Wanawafanya wazazi waone mwanafunzi kusoma shahada ya kwanza kama mkulima wa bangi kwahyo ili uwe mtumishi wa umma jitaidi ufail mitiani yako.
 
Tatizo elimu yetu inayotolewa haiko practical, haimuandai mhitimu kuexplore mazingira yake kwa manufaa yake,matokeo yake ni kudharauliwa. Wako sawa kudharau wasomi sababu wanajua elimu inayotolewa haina quality. Ni sawa na bure kusoma.
Nilikuwa nawaza hata masomo mengi ya sayansi hayafundishwi kwenye msingi wa kuonesha vile yalivyo practical ndo maana yanaonekana magumu sana.

Na hata masomo muhimu wengi wanakwepa ni kwa sababu yanakosa uhalisia na jamii zetu.
 
Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote.

Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma.

Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida.

Najiuliza wakienda Hospitali hao madaktari wanaowatibu si wanatumia Elimu zao?

Ni mfano tu wa hao ila mitandaoni kumeibuka wimbi kubwa la watu wakinanga na kuonyesha elimu haina manufaa.

Watoto wa maskini wanamezeshwa hizo Perspective huku watoto wa viongozi wakiendelea kupata Elimu nzuri zaidi na huenda tukatawaliwa na vizazi vile vile miaka ijayo.

Tumejengewa mifumo na misingi kwamba manufaa ya elimu ni kuajiriwa.

Dhana ya kuajiriwa inaturudisha nyuma wengi.

Lakini pamoja na ajira za kuajiriwa kupungua haimaanishi thamani ya Elimu isiwepo.

BUMIJA Tutor.
Arusha, Tanzania
Tatizo la Watanzania wengi hawaelewi lengo la elimu ni nini.

Wanafikiri lengo la elimu ni kupata cheti cha kupatia ajira na mshahara ili mtu aishi maisha ya unafuu.

Wakiona elimu waliyoipata haiwasaidii kupata ajira wanaona elimu haina maana.

Wakati hilo si lengo la elimu, na ukifikiri hivyo, bado hujaelimika.
 
 
Tatizo la Watanzania wengi hawaelewi lengo la elimu ni nini.

Wanafijiri lengo la elimu ni kupata cheti cha kupatia ajira na mshahara iki mtu aishi maisha ya unafuu.

Wakiona elimu waliyoioata haiwasaidii juoata ajira wanaona elimu haina maana.

Wakati hilo si lengo la elimu, na ukifikiri hivyo, bado hujaelimika.
Elimu ni nguvu inakujenga namna ya kuwaza na kufikiri tofauti mtu ambaye hajasoma na mtu ambaye amesoma wakizungumza lazima utagundua ipi pumba upi mchele
 
Tatizo elimu yetu inayotolewa haiko practical, haimuandai mhitimu kuexplore mazingira yake kwa manufaa yake,matokeo yake ni kudharauliwa. Wako sawa kudharau wasomi sababu wanajua elimu inayotolewa haina quality. Ni sawa na bure kusoma.
Mkuu hapa unaongelea elimu ya ngazi ipi ?
Maana kwa Tertiary education ni practical oriented na watu wanatoka na ujuzi unaohitajika kwenye jamii moja kwa moja
1000012817.jpg
 
Elimu ni mkombozi Kwa maisha ya mwanadamu lakini siyo elimu inayotolewa Tanzania.Msomi wa Tanzania anafanya mambo ya kijinga Hadi unashangaa hivi kweli huyu anaelimu?
 
Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote.

Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma.

Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida.

Najiuliza wakienda Hospitali hao madaktari wanaowatibu si wanatumia Elimu zao?

Ni mfano tu wa hao ila mitandaoni kumeibuka wimbi kubwa la watu wakinanga na kuonyesha elimu haina manufaa.

Watoto wa maskini wanamezeshwa hizo Perspective huku watoto wa viongozi wakiendelea kupata Elimu nzuri zaidi na huenda tukatawaliwa na vizazi vile vile miaka ijayo.

Tumejengewa mifumo na misingi kwamba manufaa ya elimu ni kuajiriwa.

Dhana ya kuajiriwa inaturudisha nyuma wengi.

Lakini pamoja na ajira za kuajiriwa kupungua haimaanishi thamani ya Elimu isiwepo.

BUMIJA Tutor.
Arusha, Tanzania
Huyo Doto magari ni mjinga tu kama wajinga wengine,sio wa kumtilia maanani
 
Wasalaam.Kumekua na tabia siku hizi hasa kwa wale waliofanikiwa kimaisha kwa njia tofauti na kisomo kuwabeza waliosoma kwamba si chochote.

Mfano kuna mtu anaitwa Dotto Magari na Mbunge Msukuma.

Hawa wanaponda sana watu walio na Elimu kwamba haina faida.

Najiuliza wakienda Hospitali hao madaktari wanaowatibu si wanatumia Elimu zao?

Ni mfano tu wa hao ila mitandaoni kumeibuka wimbi kubwa la watu wakinanga na kuonyesha elimu haina manufaa.

Watoto wa maskini wanamezeshwa hizo Perspective huku watoto wa viongozi wakiendelea kupata Elimu nzuri zaidi na huenda tukatawaliwa na vizazi vile vile miaka ijayo.

Tumejengewa mifumo na misingi kwamba manufaa ya elimu ni kuajiriwa.

Dhana ya kuajiriwa inaturudisha nyuma wengi.

Lakini pamoja na ajira za kuajiriwa kupungua haimaanishi thamani ya Elimu isiwepo.

BUMIJA Tutor.
Arusha, Tanzania
Wasamehe Bure,. Kwakuwa hawana elimu ndio maana wanasema hivyo,. Lait wangekua wameelimika wangekaa kimya. Ni jamii gani inaweza kupiga hatua pasipo elimu?. Hayo mafanikio Kwa wasio na elimu ni asilimia chache sana. sikatai wapo wenye elimu na hawajaelimika hao pia ni wachache. Hawawezi kuwa sawa wenye elimu na wasio na elimu. Ndio maana watu wanawekeza kwenye elimu
 
Tatizo elimu yetu inayotolewa haiko practical, haimuandai mhitimu kuexplore mazingira yake kwa manufaa yake,matokeo yake ni kudharauliwa. Wako sawa kudharau wasomi sababu wanajua elimu inayotolewa haina quality. Ni sawa na bure kusoma.
Elimu inayotolewa inabeba maudhui ya ku"serve" public issues. Mtu anasomea uongozi can you imagine?. Shida iliyopo hapa ni kitu kinaitwa social inequality yani nafasa pamoja na kuwepo ila ni chache so, wachache ndo wanazifikiana wengine wengi wanakosa.

Na mfumo uliopo kwemye elimu ni pyrmidal yani kila ukienda juu wengine wanapungua. Klichowafelisha watu la saba au form four ni hichohicho kinawafelisha wengine at the "last step" kwenye ajira. Ndo mana aliefeli la saba na aliekosa ajira wanadondokea kwenye kazi zinazowafanya kufanana
 
Back
Top Bottom