Elimu ina mchango sana kwenye ukuaji wa uchumi kwa sababu...
1. Huleta ujenzi,utumiaji na usimamizi wa viwanda na miundo mbinu mfano Barabara,Anga na Maji.
2. Elimu hustaarabisha watu mfano Uzingatiaji wa afya hii hufanya uwepo wa nguvu kazi yenye afya,uzazi wa mpango,n.k
3. Elimu huzalisha kada mbali mbali,mfano madaktari,wanasiasa,polisi na wanasheria. Wanasiasa waliosoma wakaelimika au wanasheria wakasoma wakaellimika hufanya mambo mengine kusonga katika nchi. Kama vile wasemavyo Siasa ni kila kitu.
4. Elimu hufungua fursa za kiuchumi,ni rahisi kupata fursa ukiwa na Elimu.
Eti mleta uzi ingekuwa ni essay hapa nina marks ngap!?
Sent using
Jamii Forums mobile app