Elimu isiwe Ni kikwazo Cha kufanya shughuli za mtaani

Elimu isiwe Ni kikwazo Cha kufanya shughuli za mtaani

babadullah

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2017
Posts
508
Reaction score
319
Utakuta kijana kamaliza chuo halafu ajira Hana na jamii inatambua kua yeye Ni msomi hivo anaona Ni kijidhalilisha kufanya shughuli za kitaa za tofaut na taaluma yake ili apate pesa
Mwisho wa siku anajikuta life linakua gumu Zaid ya hata wasioosoma,me niwaase ndugu zangu tusichague shughuli ya kufanya kwa kigezo Cha usomina wakat ajira huna pesa huna yaan STOMACH empty POCKET empty
 
Back
Top Bottom