Elimu kuhusu "Kuua bila ya kukusudia" S.195(1) penal code

Asante GuDume ...tutajitahidi kuwa wasomi wazuri zaidi mpaka tufikie level zenu ...
 
Safii mwanzo mzuri, ukifika LL.B utakuwa vyema zaidi kwenye Legal method(case analysis) hata mbuyu ulianza kama mchicha, as long as una practise law everywhere utakuwa nondo anywhere.
 
Je ikiwa huyu judge,aliyesikiliza kesi amefariki,ndio kusema haiwezekani tena kufungua hilo shauri?Kwa kumaanisha kesi imesikizwa na judge sio hakimu.
 
Je ikiwa huyu judge,aliyesikiliza kesi amefariki,ndio kusema haiwezekani tena kufungua hilo shauri?Kwa kumaanisha kesi imesikizwa na judge sio hakimu.
Mwingine anasikiliza,ila kama aliyesikiliza yupo ni vyema aisikilize
 
Mimi sheria ilipita kushoto napenda kujua kazi za watu wafuatao
1. Hakimu
2. Judge
3. Wakiri

Pia nijue hizi mahakama kiundani zaidi
1. Mahakama ya mwanzo na inauwezo gani.
2. Mahakama ya wilaya na uwezo wake
3.mahakama ya rufaa na uwezo wake
4. Mahakama ya aridhi na si mahakama zingine
5. Mahakama ya watoto

Mwisho
Nn sababu ya kesi kusikilizwa muda mrefu?

Nawezaje kufungua jarada LA kesi

Nawezaje kuondoa kesi mahakamani/ kuifuta

Simu inapogika nikiwa mahakamani sheria inasemaje. Maana huwa nasikia ni makosa. Maswali ni mengi tuanze na haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…