Malingumu
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 616
- 429
Wasalaam.
Kumekuwa na malalamiko sana kwa watu wengi katika kipindi hiki kuhusu ulipaji wa kodi, hasa katika matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD katika ulipaji wa kodi. Binafsi sina uelewa kamili kuhusu haya mambo.
Mfano katika matumizi ya hizo mashine za EFD, ni vigezo gani vinatumika mpaka mfanyabiashara atakiwe kutumia hiyo mashine, je ni kiwango cha mtaji? kama ni kiwango cha mtaji basi ni sh. ngapi? je ni aina ya biashara? Je ni mahali biashara inapofanyika? Au kipi?
Naomba wajuzi wa haya mambo mtumwagie somo hapa hasa katika masharti / vigezo vya kutakiwa kutumia hizo mashine, na kama kuna mashine zingine pia mtuambie. Mimi sijui kwa kweli.
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwa na malalamiko sana kwa watu wengi katika kipindi hiki kuhusu ulipaji wa kodi, hasa katika matumizi ya mashine za kielektroniki za EFD katika ulipaji wa kodi. Binafsi sina uelewa kamili kuhusu haya mambo.
Mfano katika matumizi ya hizo mashine za EFD, ni vigezo gani vinatumika mpaka mfanyabiashara atakiwe kutumia hiyo mashine, je ni kiwango cha mtaji? kama ni kiwango cha mtaji basi ni sh. ngapi? je ni aina ya biashara? Je ni mahali biashara inapofanyika? Au kipi?
Naomba wajuzi wa haya mambo mtumwagie somo hapa hasa katika masharti / vigezo vya kutakiwa kutumia hizo mashine, na kama kuna mashine zingine pia mtuambie. Mimi sijui kwa kweli.
Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app