GREATER THINKER 2B New Member Joined Feb 11, 2014 Posts 4 Reaction score 0 Feb 12, 2014 #1 hivi mkuu wa shule akiwa na stashahada alafu walimu wa kawaida wakawa wanamzidi elimu hiyo shule itaenda kweli au dharau zitakuwa nyingi!
hivi mkuu wa shule akiwa na stashahada alafu walimu wa kawaida wakawa wanamzidi elimu hiyo shule itaenda kweli au dharau zitakuwa nyingi!
irumba1 JF-Expert Member Joined May 10, 2013 Posts 882 Reaction score 321 Feb 12, 2014 #2 GREATER THINKER 2B said: hivi mkuu wa shule akiwa na stashahada alafu walimu wa kawaida wakawa wanamzidi elimu hiyo shule itaenda kweli au dharau zitakuwa nyingi! Click to expand... mambo yanaenda sana inategemea na busara zake na culture ya shule aliyoijenga ikiwemo ushirikishwaji wa walimu katika maamuzi bila kubagua pia kuwepo na usawa na uwazi katika kuiendesha shule vinginevyo vice-versa is.......
GREATER THINKER 2B said: hivi mkuu wa shule akiwa na stashahada alafu walimu wa kawaida wakawa wanamzidi elimu hiyo shule itaenda kweli au dharau zitakuwa nyingi! Click to expand... mambo yanaenda sana inategemea na busara zake na culture ya shule aliyoijenga ikiwemo ushirikishwaji wa walimu katika maamuzi bila kubagua pia kuwepo na usawa na uwazi katika kuiendesha shule vinginevyo vice-versa is.......
R RUKAKA Senior Member Joined Apr 17, 2011 Posts 100 Reaction score 11 Feb 12, 2014 #3 Ukuu si elimu ni uteuzi. Ukiteuliwa na ukawa na busara mambo yanaenda. Mbona rais anaweza?