MTISHI JUNIOR
New Member
- Feb 7, 2013
- 1
- 0
Nani alaumiwe matokeo ya kidato cha nne? Kama ni walimu wamelipa wanacholipwa,wanafunzi wamejibu walichofundishwa na walim wao na baraza wamesahihisha na kutoa matokeo kama yalivyotokea . hebu tuangalie chanzo ni nini kwa matokeo haya machafu ambayo hayavutii hata kuyasikia?