Nani alaumiwe matokeo ya kidato cha nne? Kama ni walimu wamelipa wanacholipwa,wanafunzi wamejibu walichofundishwa na walim wao na baraza wamesahihisha na kutoa matokeo kama yalivyotokea . hebu tuangalie chanzo ni nini kwa matokeo haya machafu ambayo hayavutii hata kuyasikia?