Elimu Musoma Vijijini: Mijadala Yenye Mapendekezo ya Kuboresha Ufundishaji, Ujifunzaji na Uelewa wa Wanafunzi Wetu

Elimu Musoma Vijijini: Mijadala Yenye Mapendekezo ya Kuboresha Ufundishaji, Ujifunzaji na Uelewa wa Wanafunzi Wetu

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

ELIMU MUSOMA VIJIJINI: MIJADALA YENYE MAPENDEKEZO YA KUBORESHA UFUNDISHAJI, UJIFUNZAJI NA UELEWA WA WANAFUNZI WETU

Wataalamu:
*Dr Zablon Kengera, UDSM
*Dr George Kaangwa, UDSM
*Mr Jeff Makongo, Ubunifu Associates

Mfadhili (usafiri, chakula, n.k.)
*Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini
Prof Dr.rer.nat. Sospeter Muhongo

Tarehe za Mijadala:

25 March 2025: Busambara Sekondari
Washiriki: Afisa Elimu Kata 21
Wataalamu 3

26 March 2025: Busambara Sekondari
Saa 3 asubuhi - Saa 6 mchana
(Primary Education)
Washiriki: Walimu Wakuu 120
Wataalamu 3

Saa 8 mchana - Saa 11 jioni
(Secondary Education)
Washiriki: Wakuu wa Sekondari 32
Wataalamu 3

27 March 2025: Halmashauri, Kwikonero
Washiriki: DC, DED, DEOs,
Madiwani, Mbunge wa Jimbo
Wataalamu 3

Washiriki kutoka kwenye shule zetu:
Shule za Serikali, wanakaribishwa
Shule za Binafsi, wanakaribishwa

Mijadala ya miaka ya nyuma:
Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini alishafadhili mijadala yenye malengo kama haya ya Machi 2025. Mijadala hiyo ni:

(i) 2019: Mjadala wa Mkoa wa Mara
(ii) 2021: Mjadala wa Wakuu wa Sekondari za Musoma Vijijini

TUENDELEE KUCHANGIA UBORESHAJI WA ELIMU ITOLEWAYO KWENYE SHULE ZETU

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:
Ijumaa, 28 Feb 2025

profesapicnbvgty.jpg
 
Back
Top Bottom