Elimu na matukio

Yesar

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2013
Posts
300
Reaction score
17
jamani wana jf kumbe elimu ya tanzania kama tamthiliya ebu cheki

1/ongezeko la shule la kata=mitihani ya kuchagua ili wajae
2/uchache wa shule za advance=wanatibua tokeo la form 4 mpaka wanarudia kusahisha
3/ukosefu wa wawalimu=wanaipa priority education
4/wanachelewesha boom na kuongeza=next year ni ka uchaguzi
dah kuna mengi sana tusaidiane
 


Umetufunga kamba ya mguu namba 2 & 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…