Elimu na Tehama

Elimu na Tehama

Sirsimp

New Member
Joined
Jan 6, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Walimu tunapata changamoto kweli kuhusiana na matumizi ya tehama mashuleni au tunazuiliwa kutumia tehama mashuleni na viongozi wetu hususani katika maandalio ya schem of work, lesson plan, teaching notice, log book n.k! yaan unakuta unasisitizwa uandike kila kitu kwa pen ya blue printed hawataki, sometime mwalim kuingia na kishikwambi darasan anazuiliwa. Wakati huo huo Serikali inahimiza matumizi ya Tehama, yaan kifupi hatuelewi
 
Watoto 150 wamekaachini hadi miguuni! Hicho kishikwambi kinaendana kweli na mazingira! Tutatue changamoto ya madawati, madarasa, uhaba wa walimu, mishahara duni, n.k
 
Back
Top Bottom