SOCIETY'S FOCUS JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 498 Reaction score 685 Jul 28, 2014 #1 Wanaopata wazimu vyuo vikuu ni kuzidi kwa material kichwani au ni mikono ya watu, au pengine ni ufrimason wa bondi ya mikopo
Wanaopata wazimu vyuo vikuu ni kuzidi kwa material kichwani au ni mikono ya watu, au pengine ni ufrimason wa bondi ya mikopo
The Don JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 3,499 Reaction score 1,170 Jul 28, 2014 #2 Wahurumie tu mkuu,mtu kuchizika kuna factors nyingi zinachangia za ndani au nje ya mhusika mwenyewe either kulogwa,kuzidisha kusoma,maisha magumu,pigo la bodi ya mkopo,madawa ya kulevya n.k,wasaidiwe tu warudi kwenye hali zao
Wahurumie tu mkuu,mtu kuchizika kuna factors nyingi zinachangia za ndani au nje ya mhusika mwenyewe either kulogwa,kuzidisha kusoma,maisha magumu,pigo la bodi ya mkopo,madawa ya kulevya n.k,wasaidiwe tu warudi kwenye hali zao
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,133 Reaction score 12,361 Jul 29, 2014 #3 SOCIETY'S FOCUS said: Wanaopata wazimu vyuo vikuu ni kuzidi kwa material kichwani au ni mikono ya watu, au pengine ni ufrimason wa bondi ya mikopo Click to expand... ufrimason wa bondi ya mikopo?
SOCIETY'S FOCUS said: Wanaopata wazimu vyuo vikuu ni kuzidi kwa material kichwani au ni mikono ya watu, au pengine ni ufrimason wa bondi ya mikopo Click to expand... ufrimason wa bondi ya mikopo?