Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,866
- 1,076
...kweli kabisa, mtu anakuja kifua mbele kumkosoa mtu bila ya kujua kuwa kile kitu kinavyofanyika ndo ilitakiwa kifanyike hivyoWell said. Humu JF wengi wanajiona wana akili sana ila ukiwasoma utagundua ndio vi.laza.
Mmmmh, kwa clouds huezi tafuta msomi ukampata.... Tusiwe wambea ktk hili. Hii ni media iliyojaa vijana wa bora tuongee tu.
Mkuu wa nchi aliwapgia simu kwa kuwa tu kuna kipengele walimsifia na si vinginevyo, Kama tujuavyo, hakuna mfalme asiependa kusifiwa
'Sijabahatika' kuangalia hicho kipindi ila nadhani yule Sasali ana bachela ya rasilimali watu....
Tatizo sio elimu, ni profeshnalizm. Mtu hajasomea utangazaji atapata wapi weledi?
Wana degree ya kwanza ya uandishi wa habari na mawasiliano ta umma
threads za majungu kama hizi hazina mashiko hata kidogo
ila wasikilizeni kimakini zaidi mtagundua wale jamaa wanakosoa sehemu fulani kimtindo mbinu wanayoitunia ni ile ya MUUE ADUI YAKO HUKU UKIMTABASAMIA NA KUMCHEKEA.
poa sana kipindi chao maana kila mtu anahitaji jambo kwa mtindo wake.
kumbukeni ni mengi tu yaliigwa kutoka kwao ingawa wanaonekana siyo.
ni bora basi nuwe mnawapigia simu na kuwaeleza wazi lakini kuwasema pembeni ni UMBEA.
Wewe ndo utakuwa Na IQ ndogo, maana wale jamaa wanatumia sarcasm, kulingana Na issue wanayotaka kui address, so kuwaelewa Ni lazma uwe complete upstairs.
Binafsi mi huwa nawaelewa vizuri
Kutoka vyuo vinavyotambulika na serikali yako, hata hivyo vilivyofungiwa vilikuwa vinatambulika na serikali yakoToka chuo gani, au ni vile vilivyofungiwa