Watanzania tucheze na vitu vingine ila tusicheze na elimu ya watoto wetu tukidhani tutabaki salama kwa umoja wetu.si jambo rahisi Taifa lolote duniani kuifanya elimu kuwa sehemu ya biashara likadhani kuwa litapiga hatua yoyote ya kimaendeleo ,zaidi ya kuzalisha kizazi cha kutenda bila kufikri na kuishia kujilaumu wenyewe kwa yote wayatendayo bila tija yoyote kwa maslahi Taifa la leo na kesho.