Elimu ndogo ya viongozi wa soka ya Bongo

Elimu ndogo ya viongozi wa soka ya Bongo

RayB

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2009
Posts
2,751
Reaction score
200
Wadau sikuamni pale niliposoma eti kigezo cha kuwa mgombea wa uenyekiti wa Simba awe walau na elimu ya kidato cha nne. Duh mbona ni ya chini sana? Lakini hata hiyo wapo wengine hawakufikia kigezo hicho na walikuwepo katika uongozi kila siku hivi huwa wanaongozaje hawa? Inakuwaje kunapokuwa na midahalo na nchi za nje? Raia wa kigeni kama kocha? Hwebu cheki hii

DALALI OUT SIMBA

1.JPG.jpeg


Mwenyekiti wa Simba Hassan Dalali leo ameenguliwa rasmi katika orodha ya wagombea wa nafasi ya Uenyekiti wa Klabu ya Simba katika uchaguzi Mkuu utakao fanyika baade mwezi ujao.
Dadali alienguliwa leo wakati Kamati ya Uchaguzi ya Simba kuketi leo katika ofisi za TFF Ilala Dar es Salaam na kupitia na kuwahoji wagombea mmoja baada ya mwingine.
Kwamujibu wa taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati hiyo Damas Ndumbaro amesema Dalalai hakutimiza vigezo vya kugombea uongozi Simba ambapo Mgombea anatakiwa walau awe na elimu ya Kidato cha nne.
Pamoja na Dalali Mwingine aliyekubwa na tatizo hilo ni na kuenguliwa ni Mohamed Nyalali.
Hivyo sasa nafasi ya Uenyekiti wa Simba Ismail Rage, Hanspope Zacharia, Michael Wambura, Hassan Hassano na Andrew Pupa


KWELI TUTAFIKA?
 
NI bahati mbaya sana tunaamini sana katika elimu iliyo rasmi (formal education) kama ndio muaraobaini wa matatizo yetu. Tell me in a nutshell, Marehemu Balali alikuwa na elimu gani and what did he do to our nation? Who were involved in Rada scandals? Were they form four levers? Nadhani elimu ni ingredient muhhimu katika uongozi lakini sio everything. Kumbuka Yanga ya kina Shiraz waliweza kuwa na jengo la timu, mabasi, uwanja na yote muhimu yanayohitajika kuwa katika timu, uliza elimu yao ni std IV ya mkoloni. Leo kuna timu zina mpaka marais, degree mbili mbili lakini usanii mtupu! Kama mtu ana uwezo wa kuongoza mpeni nafasi.
 
NI bahati mbaya sana tunaamini sana katika elimu iliyo rasmi (formal education) kama ndio muaraobaini wa matatizo yetu. Tell me in a nutshell, Marehemu Balali alikuwa na elimu gani and what did he do to our nation? Who were involved in Rada scandals? Were they form four levers? Nadhani elimu ni ingredient muhhimu katika uongozi lakini sio everything. Kumbuka Yanga ya kina Shiraz waliweza kuwa na jengo la timu, mabasi, uwanja na yote muhimu yanayohitajika kuwa katika timu, uliza elimu yao ni std IV ya mkoloni. Leo kuna timu zina mpaka marais, degree mbili mbili lakini usanii mtupu! Kama mtu ana uwezo wa kuongoza mpeni nafasi.

Hebu jaribu kuijibu hii kwa context ya maisha sasa kaka, wewe unategemea uweze kurun business ya maana na ikuwe na kutambulika worldwide ukiwa huna elimu yoyote au hata kutegemea mtu yoyote mwenye elimu ya biashara hiyo ili uweze kupigana vema katika soko?
 
Kidogo ka mwanga finyu kananipa uelewa sasa kwamba kwa nini klabu zetu miaka yote hii tulikuwa hatufanyi vizuri na finacially wala kiwanjani. dah kama huyu dalali alikuwa ni mpiga gitaa wa Vijana jazz miaka ya sabini, leo eti anaongoza simba hata form 2 hajafika daaaaaaaaaaaaaaaaaaaah. Huko Yanga sijui nako kukoje. kuna haja sasa kuweka sheria ya kiwango cha elimu kwa hizi klabu zetu za Bongo atleast mtu awe form six basi na si form four
 
Kidogo ka mwanga finyu kananipa uelewa sasa kwamba kwa nini klabu zetu miaka yote hii tulikuwa hatufanyi vizuri na finacially wala kiwanjani. dah kama huyu dalali alikuwa ni mpiga gitaa wa Vijana jazz miaka ya sabini, leo eti anaongoza simba hata form 2 hajafika daaaaaaaaaaaaaaaaaaaah. Huko Yanga sijui nako kukoje. kuna haja sasa kuweka sheria ya kiwango cha elimu kwa hizi klabu zetu za Bongo atleast mtu awe form six basi na si form four

Ni kweli kabisa mzee tena kiwango hicho haitoshi. Hata TFF nao wamebadili juzi tu na kuweka kigezo cha degree na uzoefu wa mambo ya mpira. Kiwango cha form four bado ni kidogo mno yaani enzi zile mtu ukimaliza kidato cha nne unajiita eti umemaliza shule mtu akikuuliza upo la ngapi unasema nishamaliza mimi
 
Back
Top Bottom