Elimu: Uwepo mpango maalumu wa kuzi upgrade shule za kata.

gambagumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
2,091
Reaction score
2,816
ili kuboresha kiwango cha elimuhapa nchini nashauri serikali kuanza mpango maalumu wa kufanya baathi ya shule za kata kua za kiwilaya, kimkoa na kitaifa kila mwaka.Mpango huu utakua na faida mbalimbali ikiwepo kuboresha elimu na kuimarisha umoja wa kitaifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…