Mkuu heshima kwanza kwenye signature yako, :focus: Comprehensive ina madaraja? Yani kwa mfano gari mpya na chakavu (used) zinakatwaje bima zake hizi?I second on your post hekimatele..
Faida ya kuwa na comprehensive japo ni ghali kulinganisha na third party mtu unakuwa more secured na usafiri wako na pia wewe binafsi kwa maana ya kwamba usalama wa mali yako ni guaranteed kwani ina-cover risk mbalimbali..
Third party unakua na usalama mdogo endapo utasababisha ajali kwani hutalipwa chochote kutoka kwenye kampuni yako.
Mimi nakushauri kama unanunua gari lipya kabisa ni vyema ukajikaza ukakata comprehensive!
Mkuu heshima kwanza kwenye signature yako, :focus: Comprehensive ina madaraja? Yani kwa mfano gari mpya na chakavu (used) zinakatwaje bima zake hizi?
Kuna baadhi ya Makampuni ya yanakwepa risk ya kutoa bima kwa magari yenye umri mrefu. Kenya hivi karibuni baadhi ya makampuni yalikataa kutoa comprehensive kwa aina flani ya magari kwa sababu spea zake ni ghali.Hivi kuna kikomo cha gari kukatiwa bima? Nimeenda kata bima kubwa naambiwa gari yangu muda wake wa kukatia bima umeisha, nimepewa ya kawaida tu! Msaada kwa anaejuwa
Thanks manKuna baadhi ya Makampuni ya yanakwepa risk ya kutoa bima kwa magari yenye umri mrefu. Kenya hivi karibuni baadhi ya makampuni yalikataa kutoa comprehensive kwa aina flani ya magari kwa sababu spea zake ni ghali.
Ila nenda kwa brokers watakupa muongozo
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa magari ya biashara mf. haice gharama ya bima comprehensive rate yake inaendaje?Kuna baadhi ya Makampuni ya yanakwepa risk ya kutoa bima kwa magari yenye umri mrefu. Kenya hivi karibuni baadhi ya makampuni yalikataa kutoa comprehensive kwa aina flani ya magari kwa sababu spea zake ni ghali.
Ila nenda kwa brokers watakupa muongozo
Sent using Jamii Forums mobile app