Elimu ya bure kwa mnaojiuliza Bendi za Congo DR zinapata wapi pesa za kujiendesha pamoja na wamiliki wake kuwa matajiri

Kajanja
 
kuna interview moja niliwahi iona jb mpiana anahojiwa akiwa kwake, aisee ile sio nyumba bali jamaa anaishi hotelini tena 5 star, kamera ikapelekwa parking, aisee yale magari anayomiliki sio mchezo, siku baada ya kuiangalia ile interview nikaja kutana na ali choki wa twanga pepeta sehemu na usafiri wake nilijikuta nacheka kwa nguvu😂
 
ila mkuu hapo kwa dancers kulipwa million 5 kwa mwezi nakataa, ingekuwa hivyo wasingekuwa wanazamia nchi za ulaya na marekani pindi bendi zinapoenda huko kupiga show
 
Mamaaa
 
kama ni kweli basi koffi pesa anayo maana kuna kipindi alikuwa na waimbaji wote wazuri kwenye bendi yake, safu ilikuwa na waimbaji kama FALLY IPUPA,MONTANA KAMENGA,FERRE GOLA, GIPSON CARNAL BUTAKONDORO,SHELLA MPUTU,GEKO MPELA(mdogo ake Alain mpela),SOLEIR WANGA,SUPER SONIC MILADJI na wengine kibao, kwenye maatalaku nawaokumbuka ni BRIGADE SABARTIN, BEBE KERO(KEROSENE) hao wote ni wakubwa imagine kila mwezi wavute 7 million bado wanenguaji na wapiga vyombo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…