Elimu ya Chuo cha Kiislam Morogoro

Status
Not open for further replies.

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Asalam aleikum!!Wakuu mwenye data kuhusu quality ya chuo hiki,naona kama chuo kiko kimya hivi tofauti kabisa na SAUT,au kozi zao ni za kimya-kimya hamtaki wengine tujue.Nataka kujua pia kama na sisi wa imani zingine tunaruhusiwa kujoini?.Please usichangie kwa mihemko ya kiimani
 
Naomba kujua kama kimeshaanza kutoa wahitimu. Maana toka nimekisikia sijawahi kukutana na mwenye degree kutoka chuo hicho.

mi mwenyewe hili linanipa tabu,siwaoni maofisi,au wanaajiriwa sana nchi za nje?
 
,,,ivi graduates wa pale wanaajiriwa ofisi zipi. Serious.
 
Utoaji ELIMU ya MAGHARIBI kwenye chuo hicho nahisi ni MWEMBWE tu ila WANA LAO JAMBO !
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…