Elimu ya Chuo cha Kiislam Morogoro

Status
Not open for further replies.
Ligi zingine are not worth taking, whats the `ambush or wait' hadi utumie LIER? Umeingia kwenye mnakasha ukiwa hujui SUZA ni nini wewe unawaza SUA! Usomi ni pamoja na kukubali kukosolewa

kubali ulikusoa kitu usichokijua,ligi umeanzisha wewe nimeshika usukani povu linakutoka.point hapo ni ww umekosoa kitu usichokijua na usichukue maana moja ya hilo neno lier ndo unakuja nayo hapa tafuta exactly maana ya hilo neno coz ulikuwa hulijui na mimi nataka ulijue kwa faida yako
 
Jamani tuvumiliane sana katika maelezo ninayoyatoa kama unaswali au sehemu hujailewa niulize nipo tayari kukujibu.

Chuo hakiwafundishi watu namna ya KUTUKANA ila kutukana ni tabia binafsi ya mtu, kwahiyo msitumie kigezo cha mtu mmoja kusema kwamba hao ndio wahitimu wa MUM walivyo.

Na kama watu wanahoji juu ya ubora wa chuo kwanini usiuseme? Tumieni busara katika kujibu maswala ya elimu kwani jukwaa hili ni la ELIMU si jukwaa la siasa.
 
Mzee mbona unakomaa na mambo yasiyo muhimu?hujui kingine tofauti na hiyo 'lier' yako,acha ligi isiyo na tija

so yeye kwanini alikuwa anakosoa kitu kisicho na tija na kibaya zaidi anakosoa kitu asichokijua.nataka nimsaidie huyu bwana mdogo siku nyingine asiaibike kwa kujifanya anajua mambo asiyoyajua
 

Mkuu kuna huu upotoshaji kwamba chuo kina elimu isiyo rasmi ya Kung Fu na chuki dhidi ya dini zingine
 
Tunaomba mkopo kama wanavyoomba wanafunzi wa vyuo vingine hatuna tofauti nao. Kwani umeuliza hivyo?

Sawa sababu haingii akilini eti MUM wanachagua wanafuni wao kama wao halafu wapate mkopo ambao una vigezo???!!!

A matter of consistency!!!
 
And thus selection is not concluded by MUM solely!!!!!

Selection & Admission is solely done by MUM! Think of those who do not apply for loans. Kila kitu wanamaliza wao, link pekee ni HESLB
 
Ligi zingine are not worth taking, whats the `ambush or wait' hadi utumie LIER? Umeingia kwenye mnakasha ukiwa hujui SUZA ni nini wewe unawaza SUA! Usomi ni pamoja na kukubali kukosolewa

nilikuwa sijui suza ndo nn ndo mana nikauliza kwamba suza ndo nini kwenye comment yangu but sikutaka kujifanya mjuaji wa kila kitu kama ww ulivyojifanya.mi nilijua unamaanisha suzana coz hivyo vyuo vyenu vya mchangani hamna mtu anayevijua na ukiandika kwa kifupi ndo kabisa havitambuliki
 
Selection & Admission is solely done by MUM! Think of those who do not apply for loans. Kila kitu wanamaliza wao, link pekee ni HESLB

I did, i just chose to go by majority!!!!

Mpenda kazi what are the entry qualifications/cut off points???!!
 
Last edited by a moderator:
Thanx will do that, hapa natumia mobile!!!!
But mwanafunzi anasema wanaomba kama wengine tu

Kuna vitu unapata taabu kuvi-comprehend, kazi ya TCU ni KUSIMAMIA UBORA wa vyuo vikuu vyote isipokuwa MUM & SUZA na kudahili wanavyuo wote (UNIVERSITIES & NON UNIV) Tanganyika isipokuwa MUM.

HESLB kazi yao ni kutoa mikopo kwa vyuo vyote Tanganyika & Zanzibar
 

Mkuu we ni muha?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…