Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
Kwa maisha ya Sasa je ni Elimu gani Ina nguvu na una prefer kati ya elimu ya darasani na Elimu ya mtandoni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea aina ya elimu uitakayo, Ngazi ya elimu usika.una prefer kati ya elimu ya darasani na Elimu ya mtandoni?
Aise Mtandaoni kunafanya unakuwa compitent sanaMinaona Mtandoni unyama sana.
Mtandaoni
Mtu anasoma programming online what does he miss bro?Inategemea aina ya elimu uitakayo, Ngazi ya elimu usika.
Elimu ya mtandaoni ina mipaka yake.
- Elimu inayohitaji vitendo zaidi nenda darasani/Maabara.
- Ila kozi mbali mbali za kujiongezea CV , mtandaoni inatosha.
View attachment 3240646
Mtu anasoma programming online what does he miss bro?
Inategemea aina ya elimu uitakayo, Ngazi ya elimu usika.
Aise kbsTunakoelekea elimu ya mitandaoni itakuwa Bora zaidi kuliko ya darasani kwa sababu elimu ya mitandaoni inakuwa updated kwa urahisi sana
Ya mtandaoniKwa maisha ya Sasa je ni Elimu gani Ina nguvu na una prefer kati ya elimu ya darasani na Elimu ya mtandoni?
Anapata cheti?Mtu anasoma programming online what does he miss bro?
Ndio Kuna a lot of certificate watu wanapata Udemy,Coursera, Stanford,MIT, Harvard n.k na anaombea ajira kabisaAnapata cheti?