Elimu ya ftc

kishoreda

Senior Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
174
Reaction score
29
Wadau naomba kuuliza hapo zamani nilisikia kulikuwa na elimu iliyokuwa inatolewa na vyuo vya ufundi vya serekali yaani Dar Tech,Arusha Tech na Mbeya Tech.Ila kwa sasa siisikii tena na katika kufuatilia nimeambiwa serekali imeifuta.Je kwanini serekali imefuta hii elimu na niliwahi kuambiwa ilikuwa inazalisha wataalamu wa ukweli wa ufundi?Naomba majibu kwa wenye data.
 
imebadilishwa jina now days inaitwa ordinary diploma
 
imebadilishwa jina now days inaitwa ordinary diploma

Je imebadilishwa jina tu?Vp kuhusu mtaala na kiwango cha elimu pamoja na product ni sawa na ile ya FTC?Pia jina la Full Technician Certificate lilikuwa na tatizo gani mpaka wakaibatiza jina lingine Ordinary Diploma?Nahitaji ufafanuzi dada Lady N.
 
Nchi hii hubadilisha mambo mara kwa mara. Sasa inaitwa diploma. Siku hizi hata Elimu ya Advanced Diploma haipo. Siku hizi hata diploma ina viwango vyake kulingana na Nacte.
 
Je imebadilishwa jina tu?Vp kuhusu mtaala na kiwango cha elimu pamoja na product ni sawa na ile ya FTC?Pia jina la Full Technician Certificate lilikuwa na tatizo gani mpaka wakaibatiza jina lingine Ordinary Diploma?Nahitaji ufafanuzi dada Lady N.
hata mtaala pia umebadilika ila product zake sio nzuri kama ftc. nina ftc na nafanya kazi na wenye hizo OD wako shallow kiaina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…