B BG baba Member Joined Apr 2, 2012 Posts 42 Reaction score 4 Apr 4, 2012 #1 Wanafunzi wa vyuo vikuu tz wamekatazwa kufanya mikutano yao ambayo wamekuwa wakiifanya wanapodai haki zao zinazopuuzwa na serikali ikiwemo kucheleweshewa mikopo yao. Je hii ni halali na haya ndiyo maisha bora kwa kila mtz?
Wanafunzi wa vyuo vikuu tz wamekatazwa kufanya mikutano yao ambayo wamekuwa wakiifanya wanapodai haki zao zinazopuuzwa na serikali ikiwemo kucheleweshewa mikopo yao. Je hii ni halali na haya ndiyo maisha bora kwa kila mtz?
M Mchokozi JF-Expert Member Joined Feb 9, 2012 Posts 215 Reaction score 29 Apr 4, 2012 #2 Fafanua umepata wapi?