Gosheni
Senior Member
- Oct 28, 2008
- 199
- 138
Ndugu wanajamii serikali kupitia naibu waziri wa elimu imethibitisha elimu ya juu sio lazima kwa kila mtanzania kwa sababu serikali haina uwezo wa kusomesha watu wake.
Swali, hali kama ni kweli kwa aliyo sema naibu waziri, hapa si ndio mwanzo wa matabaka ya milele na milele, ambapo tutakuwa na kundi la watawala daima, ambapo mtoto wa masikini hatakuja kutawala nchi hii daima, ingawa nchi hii ni ya kwetu sosote?
Pili hivi ni kweli serikali haina uwezo wa kusomesha watu wake? ninavyojua kunamatumizi mengi yasiyo ya lazima kama warsha na makongamano ambayo hayana tija yoyote kwa nchi hii zaidi ya kuwa njia mbadala wa kipato kwa waheshimiwa.
Sasa kama serikali inaniya yakuendelea yenyewe na kuondoa umaskini kwa wanachi yake, je kweli hili litawezakana kama haitoi kipaumbele kwenye elimu ya juu kwa watu wake.
Sasa na vyuo vikuu vinavyo jengwa kama cha dodoma, wananani watakao kwenda kusoma, na hisi hapa serikali inajichanganya yenyewe, tukumbuke wanachi watanzania wengi hawana uwezo wa kifedha hata kwa mlo wa siku moja, kama serikali hitaki kuwasidia katika kusoma elimu ya juu, hivyo vyuo nivya nini?
Swali, hali kama ni kweli kwa aliyo sema naibu waziri, hapa si ndio mwanzo wa matabaka ya milele na milele, ambapo tutakuwa na kundi la watawala daima, ambapo mtoto wa masikini hatakuja kutawala nchi hii daima, ingawa nchi hii ni ya kwetu sosote?
Pili hivi ni kweli serikali haina uwezo wa kusomesha watu wake? ninavyojua kunamatumizi mengi yasiyo ya lazima kama warsha na makongamano ambayo hayana tija yoyote kwa nchi hii zaidi ya kuwa njia mbadala wa kipato kwa waheshimiwa.
Sasa kama serikali inaniya yakuendelea yenyewe na kuondoa umaskini kwa wanachi yake, je kweli hili litawezakana kama haitoi kipaumbele kwenye elimu ya juu kwa watu wake.
Sasa na vyuo vikuu vinavyo jengwa kama cha dodoma, wananani watakao kwenda kusoma, na hisi hapa serikali inajichanganya yenyewe, tukumbuke wanachi watanzania wengi hawana uwezo wa kifedha hata kwa mlo wa siku moja, kama serikali hitaki kuwasidia katika kusoma elimu ya juu, hivyo vyuo nivya nini?