Elimu ya juu sio lazima kwa watanzania serikali yathibitisha


Tikera sijui hukusoma sehemu hii hapa chini katika bandiko langu, au hujaelewa tu.

Kwa kifupi mimi nina advocate a centrist position, ambapo serikali inachukua wajibu kidogo na mwananchi anachukua wajibu kidogo.Hamna upande uanaobeba mzigo wote, kwani serikali yetu ina mambo mengi na wananchi wetu wengi masikini.

Hebu soma tena hapa

 

Mkuu, hao wakubwa ukifuata kile wanachokisema watakupoteza tu. Ni wewe mwenyewe kuchagua kinachokufaa. Binafsi naongozwa na maxim hii: 'If the theory doesn't fit the practice, ignore the theory.' Elimu kwangu ni ufunguo wa faraja na 'as long as I am alive I'll make sure my children study to university level.'

Kwa hiyo, waseme elimu ya juu siyo lazima au la, kwangu mimi ni lazima. Unafikiri wao wataacha kuwasomesha watoto wao chuo kikuu kweli kwa vile hiyo elimu siyo lazima, si wanatudanganya wewe na mimi tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…