elimu ya kibongo

sadmonga

New Member
Joined
Sep 26, 2013
Posts
1
Reaction score
0
kwa style hii kamwe elimu ya kibongo haita zalisha wasomi/wataalamu wenye uwezo kufanya kazi aliyo somea kutokana kwamba mwanafunzi anasoma module zaidi ya 11 kwa semister na katika masomo hayo kuna yanayo muhitji kuhudhuria practical, lakini kutokana na wingi wa masomo mwanafunzi anashindwa kutimiza hayo kilicho baki ni kukariri tu ili afaulu mtihani wa mwisho. sasa kwa style hii kweli tupata kile tunachokitarajia?
 
Elimu ya kibongo bado inachangamoto sana.Wahadhiri huwa wanafukuzana kumaliza module tu,wanafunzi wanameza halafu wanatiririka siku ya mtihani baada ya hapo kwisha habari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…