Elimu ya kumjua mwenza sahihi

Elimu ya kumjua mwenza sahihi

yuzazifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2018
Posts
5,108
Reaction score
9,436
Wakuu japo elimu zingine sio rasmi bt zimekuwa na manufaa zinapotumika, hii elimu ya kumjua mwenza sahihi nimeikuta pahala nikajaribu ikaleta uhalisia then nikaamua kushare nanyi.

chukua idadi ya herufi za jina lako na mwenza wako kisha jumlisha na 7 kisha gawa kwa 9, ukigawanya hesabu ikaisha hilo ndo jibu mfano:
JESCA+JOSEPH=11+7=18/9=2 kisha utasoma maana ya jibu.

kama hesabu haijaisha ile baki ndo utaisoma jibu. mfano.
MARIAMU+YUSUFU=13+7=20/9=Jibu 2 na kubaki 2, hiyo baki ndo utatumia kusoma maana ya jibu

SOMA MAJIBU
Ikibaki 1=ndoa/mahusiano hayawez dumu

Ikibaki2=ndoa nzur na mtakubalika pande zote

Ikibaki3=ndoa ipo ila itaingiliwa na ndugu na mambo ya kishirikina

Ikibaki4=mapenzi ya furah daima

Ikibaki5=ndoa nzur na mtapata utajir

Ikibaki6=familia isoisha maradhi

Ikibaki7=ndoa ipo na itadumu

Ikibaki8=ndoa mbaya coz mmoja atamuua mwenzake

Ikibaki9=ndoa ipo bt mkae mbali, mkikaa karibu ugomvi ni kila mara

fanyeni hesabu then mlete mrejesho.
 
Duuu kwahiyo tubadilishe majina au unashaurije
 
Ndio madhara ya kufeli form 4... Sio kila kitu ukionacho facebook ni kweli
 
Imani tu hizi, wengine wanamajina Kama 3 I I napo inakuwa je
 
Duu! Kama ni kweli basi wengi tuna shida maana nikijumlisha ha ya wale X wangu wa nyuma kote calculation inanipa 8!
 
Dunia inambo haya nipe jibu la 5+7+7÷9=? Nini tafsiri ya jibu la ndoa maana sio kila majina yataangukia ktk namba zako mengine yanatoa na pointi
 
Dunia inambo haya nipe jibu la 5+7+7÷9=? Nini tafsiri ya jibu la ndoa maana sio kila majina yataangukia ktk namba zako mengine yanatoa na pointi
12+7=19/9= 2 baki 1, ukigawa kwa 9 hesabu ikawa haijaisha hiyo baki ndo unatumia kusoma majibu, kwa hiyo hapo angalia majibu ya 1 then uangalie taswira ya ndoa yako kama ina relate na jawabu
 
Wakuu japo elimu zingine sio rasmi bt zimekuwa na manufaa zinapotumika, hii elimu ya kumjua mwenza sahihi nimeikuta pahala nikajaribu ikaleta uhalisia then nikaamua kushare nanyi.

chukua idadi ya herufi za jina lako na mwenza wako kisha jumlisha na 7 kisha gawa kwa 9, ukigawanya hesabu ikaisha hilo ndo jibu mfano:
JESCA+JOSEPH=11+7=18/9=2 kisha utasoma maana ya jibu.

kama hesabu haijaisha ile baki ndo utaisoma jibu. mfano.
MARIAMU+YUSUFU=13+7=20/9=Jibu 2 na kubaki 2, hiyo baki ndo utatumia kusoma maana ya jibu

SOMA MAJIBU
Ikibaki 1=ndoa/mahusiano hayawez dumu

Ikibaki2=ndoa nzur na mtakubalika pande zote

Ikibaki3=ndoa ipo ila itaingiliwa na ndugu na mambo ya kishirikina

Ikibaki4=mapenzi ya furah daima

Ikibaki5=ndoa nzur na mtapata utajir

Ikibaki6=familia isoisha maradhi

Ikibaki7=ndoa ipo na itadumu

Ikibaki8=ndoa mbaya coz mmoja atamuua mwenzake

Ikibaki9=ndoa ipo bt mkae mbali, mkikaa karibu ugomvi ni kila mara

fanyeni hesabu then mlete mrejesho.
Hizi ni porojo tu zisizo na msingi wowote
 
Wakuu japo elimu zingine sio rasmi bt zimekuwa na manufaa zinapotumika, hii elimu ya kumjua mwenza sahihi nimeikuta pahala nikajaribu ikaleta uhalisia then nikaamua kushare nanyi.

chukua idadi ya herufi za jina lako na mwenza wako kisha jumlisha na 7 kisha gawa kwa 9, ukigawanya hesabu ikaisha hilo ndo jibu mfano:
JESCA+JOSEPH=11+7=18/9=2 kisha utasoma maana ya jibu.

kama hesabu haijaisha ile baki ndo utaisoma jibu. mfano.
MARIAMU+YUSUFU=13+7=20/9=Jibu 2 na kubaki 2, hiyo baki ndo utatumia kusoma maana ya jibu

SOMA MAJIBU
Ikibaki 1=ndoa/mahusiano hayawez dumu

Ikibaki2=ndoa nzur na mtakubalika pande zote

Ikibaki3=ndoa ipo ila itaingiliwa na ndugu na mambo ya kishirikina

Ikibaki4=mapenzi ya furah daima

Ikibaki5=ndoa nzur na mtapata utajir

Ikibaki6=familia isoisha maradhi

Ikibaki7=ndoa ipo na itadumu

Ikibaki8=ndoa mbaya coz mmoja atamuua mwenzake

#Ikibaki9=ndoa ipo bt mkae mbali, mkikaa karibu ugomvi ni kila mara

fanyeni hesabu then mlete mrejesho.
Hapa kwa 9 ndio umebungi hakuna namba utagawa na 9 afu ikabaki 9.
 
Wakuu japo elimu zingine sio rasmi bt zimekuwa na manufaa zinapotumika, hii elimu ya kumjua mwenza sahihi nimeikuta pahala nikajaribu ikaleta uhalisia then nikaamua kushare nanyi.

chukua idadi ya herufi za jina lako na mwenza wako kisha jumlisha na 7 kisha gawa kwa 9, ukigawanya hesabu ikaisha hilo ndo jibu mfano:
JESCA+JOSEPH=11+7=18/9=2 kisha utasoma maana ya jibu.

kama hesabu haijaisha ile baki ndo utaisoma jibu. mfano.
MARIAMU+YUSUFU=13+7=20/9=Jibu 2 na kubaki 2, hiyo baki ndo utatumia kusoma maana ya jibu

SOMA MAJIBU
Ikibaki 1=ndoa/mahusiano hayawez dumu

Ikibaki2=ndoa nzur na mtakubalika pande zote

Ikibaki3=ndoa ipo ila itaingiliwa na ndugu na mambo ya kishirikina

Ikibaki4=mapenzi ya furah daima

Ikibaki5=ndoa nzur na mtapata utajir

Ikibaki6=familia isoisha maradhi

Ikibaki7=ndoa ipo na itadumu

Ikibaki8=ndoa mbaya coz mmoja atamuua mwenzake

Ikibaki9=ndoa ipo bt mkae mbali, mkikaa karibu ugomvi ni kila mara

fanyeni hesabu then mlete mrejesho.
Hatari nikiacha initial ambayo ni jina baba napata 1,kwa maana ya kutumia surname, nikitumia jina la baba kirefu cha initial napata 4, mimi mwenyewe herufi zangu jibu ni 2, hii ni fitina
 
Hatari nikiacha initial ambayo ni jina baba napata 1,kwa maana ya kutumia surname, nikitumia jina la baba kirefu cha initial napata 4, mimi mwenyewe herufi zangu jibu ni 2, hii ni fitina
weka jina lako pekee na la mwenza wako bila majina ya wazazi ndo utapata jawabu sahih
 
12+7=19/9= 2 baki 1, ukigawa kwa 9 hesabu ikawa haijaisha hiyo baki ndo unatumia kusoma majibu, kwa hiyo hapo angalia majibu ya 1 then uangalie taswira ya ndoa yako kama ina relate na jawabu
ndio tulishaachana bila ata sababu tukajikuta tumeacha tu
 
Back
Top Bottom