Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
Si mara ya kwanza hapa nchini kusikia watu wamepoteza Maisha kwa kula samaki aina ya KASA, na hivi majuzi tena tumesikia watu saba kutoka Kijiji cha Bweni na Kanga Wilayani Mafia mkoani Pwani wamefariki dunia kwa kula samaki huyo anayesadikiwa kuwa na sumu.
Matukio haya yanapaswa KUWAAMSHA na wahusika waanze kutoa elimu kwa umma,Ili jamii iepuke matumizi wa samaki huyo ambaye ni nyara ya Serikali na kupunguza athari kwa wananchi.
Ni jambo la kushangaza wananchi wanaendelea kupoteza maisha, huku wahusika wakiwa wamekaa kimya bila kuchukua hatua za kuwanusuru kuepukana na changamoto hiyo.
Pamoja na hayo, ni muhimu wavuvi kusisitizwa kuzingatia kanuni na sheria za uvuvi, ikiwemo kutovua au kula kasa.
.
Matukio haya yanapaswa KUWAAMSHA na wahusika waanze kutoa elimu kwa umma,Ili jamii iepuke matumizi wa samaki huyo ambaye ni nyara ya Serikali na kupunguza athari kwa wananchi.
Ni jambo la kushangaza wananchi wanaendelea kupoteza maisha, huku wahusika wakiwa wamekaa kimya bila kuchukua hatua za kuwanusuru kuepukana na changamoto hiyo.
Pamoja na hayo, ni muhimu wavuvi kusisitizwa kuzingatia kanuni na sheria za uvuvi, ikiwemo kutovua au kula kasa.
.