coco bella
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 305
- 315
Exactlythe best way of saving is buying assets don't keep it as cash...
Wewe ni ke au me?Nina miaka mitatu kazini, ninapata mshahara mzuri sana ila sielewi mshahara wangu unaishaje, siwezi kutunza fedha kabisa, mshahara ukiingia utafikiri napandwa na wazimu kila kitu nitataka ninunue ukiisha akili inakaa sawa. Nisaidieni jamani mwenye uelewa na mambo ya saving anifundishe jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 16 nikiwa kwenye ajira, nilikua nalipwa mshahara mzuri na sikuwahi kutunza fedha yeyote zaidi ya kununua assets.Nina miaka mitatu kazini, ninapata mshahara mzuri sana ila sielewi mshahara wangu unaishaje, siwezi kutunza fedha kabisa, mshahara ukiingia utafikiri napandwa na wazimu kila kitu nitataka ninunue ukiisha akili inakaa sawa. Nisaidieni jamani mwenye uelewa na mambo ya saving anifundishe jamani
Sent using Jamii Forums mobile app