Deflakonary
Member
- Aug 17, 2013
- 47
- 3
Kuanzia sasa wanajamvi tusitishe kuchangia mada yoyote atakayoitoa huyu kijana anaejiita oil sumu au majina mengine full again na sumu tamu
Anaonyesha dhahili ufinyu wake wa akili na kutoitumia vizuri taaluma yake aliyoipata kidato cha sita
Amekuwa akitafuta umaarufu wa kijinga kwa kupitia majina ya watu kama mpigamsuli.Wengi wenu nimeona mmetoa jitihada nyingi za kumpotezea na kumsahihisha arudi kwenye mstali na nawapa pongezi kwa hilo kina Darius Molembe chatts55 AllenMwita Eshy m.s Baba V Eric zeph stanley, Flammable flyn ryder, na wengne wengi.Kwanini kajitu kadogo kasumbue akiki za watu humu jukwaani na kwanini hadhi ya jukwaa ishuke kisa hakahaka kajamaa.
Tunajua wengi humu tumejiunga kwa maslahi ya Elimu ya Tanzania na watu wengi pia hasa wadogo zetu wa O level na A level pia huchungulia humu kwa japo kujikusanyia machache na mazuri yanayowahusu, sasa vp anakutana na post za oil sumu a.k.a full again ,atachukuliaje? ataona wote tuna akili kama za oil chafu.
Mbona majukwaa mengine yana heshima sana kwanini kila mtu aliseme jukwaa la Elimu kwamba linaelekea kupoteza hadhi? tutafakari mara mbili, naomba hata Mods watusaidie kwa hili.
Dawa ya huyu kijana, no Reply to his topics .
Ignoring him is the biggest cure to his arrogance topics
Nawasilisha.
NB: Mods tafadhari muiache hii topic hapahapa.!!!
Anaonyesha dhahili ufinyu wake wa akili na kutoitumia vizuri taaluma yake aliyoipata kidato cha sita
Amekuwa akitafuta umaarufu wa kijinga kwa kupitia majina ya watu kama mpigamsuli.Wengi wenu nimeona mmetoa jitihada nyingi za kumpotezea na kumsahihisha arudi kwenye mstali na nawapa pongezi kwa hilo kina Darius Molembe chatts55 AllenMwita Eshy m.s Baba V Eric zeph stanley, Flammable flyn ryder, na wengne wengi.Kwanini kajitu kadogo kasumbue akiki za watu humu jukwaani na kwanini hadhi ya jukwaa ishuke kisa hakahaka kajamaa.
Tunajua wengi humu tumejiunga kwa maslahi ya Elimu ya Tanzania na watu wengi pia hasa wadogo zetu wa O level na A level pia huchungulia humu kwa japo kujikusanyia machache na mazuri yanayowahusu, sasa vp anakutana na post za oil sumu a.k.a full again ,atachukuliaje? ataona wote tuna akili kama za oil chafu.
Mbona majukwaa mengine yana heshima sana kwanini kila mtu aliseme jukwaa la Elimu kwamba linaelekea kupoteza hadhi? tutafakari mara mbili, naomba hata Mods watusaidie kwa hili.
Dawa ya huyu kijana, no Reply to his topics .
Ignoring him is the biggest cure to his arrogance topics
Nawasilisha.
NB: Mods tafadhari muiache hii topic hapahapa.!!!
Last edited by a moderator: