Easymutant
R I P
- Jun 3, 2010
- 2,564
- 1,133
View attachment 12626
Adhabu za dizaini hii zilifanya nikachukia kusoma nakumbuka kulikuwa na baadhi ya walimu walikuwa wanatoa adhabu ya si chini ya viboko 4 ukiwa umeshika masikio, ukimaliza unakwenda kuchoya maji nyumbani kwa mwalimu wa zamu..nadhani hii bado inaaply vijijini hadi leo, kwangu mie ni kikwazo kikubwa sana kwa adhabu za dizaini hii na inashusha sana uelewa wa mwanafunzi coz 78% unakuwa ni mtu wa kuogopa ogopa tu muda wote.
Adhabu za dizaini hii zilifanya nikachukia kusoma nakumbuka kulikuwa na baadhi ya walimu walikuwa wanatoa adhabu ya si chini ya viboko 4 ukiwa umeshika masikio, ukimaliza unakwenda kuchoya maji nyumbani kwa mwalimu wa zamu..nadhani hii bado inaaply vijijini hadi leo, kwangu mie ni kikwazo kikubwa sana kwa adhabu za dizaini hii na inashusha sana uelewa wa mwanafunzi coz 78% unakuwa ni mtu wa kuogopa ogopa tu muda wote.