N NICHOLAUS BENDIRIBA Member Joined Oct 15, 2012 Posts 5 Reaction score 0 Oct 16, 2012 #1 Ebu jiulize elimu ni ufunguo wa maisha ila kazi ya ufunguo una funga na kufungua na pia elimu ikiwa mbaya inazalisha vichaa inchini hebu jiulize mimi na wewe kweli elimu inayo tolewa tz inatupeleka wapi kwenye dunia hiii ya technologia
Ebu jiulize elimu ni ufunguo wa maisha ila kazi ya ufunguo una funga na kufungua na pia elimu ikiwa mbaya inazalisha vichaa inchini hebu jiulize mimi na wewe kweli elimu inayo tolewa tz inatupeleka wapi kwenye dunia hiii ya technologia
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 Oct 16, 2012 #2 Inatusaidia kuwaangalia wengine wakifaulu maishani sisi tukibaki na vyeti bila kazi wala kianzio cha kujiajiri Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Inatusaidia kuwaangalia wengine wakifaulu maishani sisi tukibaki na vyeti bila kazi wala kianzio cha kujiajiri Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,540 Oct 16, 2012 #3 Inaandaa mafisadi nyangumi