kusoma chuo si kwamba you only absorb the materials that are delivered by instructors. unatakiwa kutazama mijadala, kusoma courses mbalimbali ambazo zitakuongezea skills, kujua vitu muhimu kama english, presentations etc. kuna mdogo wangu alikuwa anasoma pale OUT, kwasababu anamuda mchana akaenda chuo cha kodi akasoma certificate ya clearing and forwarding, akaomba kazi bandari akapata fasta na akapiga sana hela huku akiwa anajisomea sana night na week end....he is graduating this year. ulimwengu wa kukaa chuo bwenini na kula kantini unaisha. kazi na shule..... kikubwa nikuwa na tabia ya kusoma vitabu maana kuna libraries nyingi sana kwa dsm kama maktaba ya taifa, udsm, soma book shop victoria, palepale OUT wanayo...plenty of them.
jijue wewe upoje ndo uamue usome wapi.
i submit