junior mzolo
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 140
- 7
Kwa hiyo kwa kuchelewesha selections elimu ndio imekosa umuhimu?
Elmu yetu ni ya kutesana kama vp matokeo wangeleta mwezi wa nne il tunge jua kuwa wanajianda kutoa post
Hivi kweli elimu yetu inaenda wapi na lbda inategemea nini kwa kutoa matokeo mapema ya kidato cha nne na kuchelewesha selection, ,,,,mi naona haya ndo matokeo ya division five ndo maana wameshindwa hata kufanya mchanganuo katika kupanga selection