ABBY MAGWAI
Member
- Oct 4, 2011
- 22
- 0
Elimu kwa ujumla ni uwanja mpana wa kufikiri na kutenda.Tunapozungumzia uwezo wa kupambana na mazingira ni
ile hali ya kutumia maarifa aliyojifunza kijikwamua na hatimaye kujijengea utu na uwezo katika maisha.
Jambo moja la kujuliza ni namna wanafunzi wananyorithishwa maarifa mashuleni ,kweli elimu ta Tanzania kwa kuzingatia hili ina uwezo wa kumwezesha muhitimu kupambana akitumia ujuzi wake ? [ Education for liberation ]
ile hali ya kutumia maarifa aliyojifunza kijikwamua na hatimaye kujijengea utu na uwezo katika maisha.
Jambo moja la kujuliza ni namna wanafunzi wananyorithishwa maarifa mashuleni ,kweli elimu ta Tanzania kwa kuzingatia hili ina uwezo wa kumwezesha muhitimu kupambana akitumia ujuzi wake ? [ Education for liberation ]