Duration of the course is not a good deteraminat factor for quality education. According to my experience, Tanzania education is good and Kenya too, where we differ is interms of english language and again language can't determine quality of education
hapa umeniacha kidogo
yap,mi nipo nairobi,na jamaa wanatudharau sana hasa kwa uongeaj wa kingereza,kiukwel kwenye engl wapo juu bt ubora wa elim tz tupo ju,hiyo pepa yao ya 4m 4 mtz akiifanya nafikir 0 zitapungua,masomo kama pysics na math bado ni changamoto kwao,sisi wanatucheka katika uandaaj wa documentry coz we ar poor grammatically,pia movie za kibongo zinatuangusha huku coz sub tittle nying zmekosewa