Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mfano sasa hivi nchini tuna shida kuu mbili..Mfumo wa elimu unaweza ukawa na kasoro ila katika hizi hoja zako sijaona hoja ambayo inaenda kugusa moja kwa moja eneo lenye madhaifu.
Sijakuelewa... hapo kwenye competence na content hebu rudiaElimu yetu bado ni ya uswahili uswahili mwingi tu ukiwa unajua kujieleza vizuri na kulielewa swali linataka huyo mtu anayekusahisha umshawishi kwa namna gani unapata maksi nyingi hata kama wewe kwenye vitendo upo tupu, Sasa hivi kwenye mtaala wapo kwenye competence based curriculum lakini ukitizama kwa undani bado wapo kwenye content based curriculum kilichobadilika ni kuzungusha swali na kuweka maneno mengi ila jibu linatoka kwenye content. Mfano swali; mtu amezama kwenye maji ziwani je utamsaidiaje? Jibu: Nitaogelea hadi alipo nitamwambia anishike mguu taratibu nitaogelea hadi nchi kavu. Jamaa anakupa tiki kubwa wakati hata haujui kuogelea.
Uko sahihi.Ndugu wananchi, elimu ya Tanzania ni fake.
Vijana wanaenda shule kuitika majina, watu wanahitimu wanarudi mtaani wameharibika zaidi. Watizameni form four walorejea huko home/mtaani.
Hitimisho
Elimu ya Tanzania ni fake.