mazingira magumu ya shule ( No infrastructures, no teachers, books/hakuna vitabu maalum kwa wanafunzi watunzi kibao nao ni wezi). Inasikitisha sana ukitembelea shule za sekondari vijijini au hata za msingi wanafunzi wanaenda kucheza tu. hakuna uwiano kati za shule za msingi na mijini.