K KG.KASELO JF-Expert Member Joined Aug 14, 2013 Posts 252 Reaction score 20 Aug 14, 2013 #1 Utafiti niliofanya dhidi ya vijana wanaohimu shahada mbalimbali hapa Tanzania,uelewa wao katika mazingira ya kazi au arithi[real life situation],ni mdogo sana.unatakujua zaidi,endelea kunifuatilia.
Utafiti niliofanya dhidi ya vijana wanaohimu shahada mbalimbali hapa Tanzania,uelewa wao katika mazingira ya kazi au arithi[real life situation],ni mdogo sana.unatakujua zaidi,endelea kunifuatilia.
Z Zero One Two JF-Expert Member Joined Sep 16, 2007 Posts 9,346 Reaction score 3,028 Aug 14, 2013 #2 Ni kweli kabisa, ila kinachopelekea hivi pia mfumo wa elimu kwa asilimia kubwa unachangia.