Mageuzi92
Member
- Jan 14, 2023
- 6
- 3
Nilikuwa sijawa mwanafunzi kipindi Cha Nyerere na nilikuwa Bado sijazaliwa . Tukijaribu kuangalia product za elimu ya Nyerere ambao wengi wao ni wazazi wetu utagundua Kuna utofauti mkubwa kiutendaji (nikimaanisha product Zina skills nyingi za kujitegemea kuliko tulivyo Sasa hivi).
Vya kale dhahabu sio mbaya kama tukivurudia.
Vya kale dhahabu sio mbaya kama tukivurudia.