Tatizo sio kukosa elimu ya kujitegemea na ujamaa, tatizo ni ubora wa elimu umeshuka.
Miaka ya zamani fursa za elimu zilikuwa chache lakini elimu ilikuwa bora, tumejaribu kupanua fursa lakini tumeshindwa kuhakikisha ubora haushuki.
Zamani hospitali inaweza kuwa na madaktari watano, wote ni wazuri kweli kweli tena wanafanya kazi bila vifaa vya kisasa, siki hizi madaktari 20 lakini 15 tia maji tia maji.
Hata ukienda vyouni utaona tofauti ya wafadhili wale wazee wa zamani na hawa vijana wapya. Kwa hawa vijani ni mchanganyiko wa wababishaji wengi na wazuri wachache.
Wengi hawajui tu, kupata zero form four halikuwa jambo ka kawaida huko zamani, lakini siku hizi tumeshazoea.