Nokia3D
Member
- Feb 2, 2013
- 74
- 1
Kusema ukweli mfumo wa elimu ya tanzania bado hipo chini/duni.wanafunzi wanapoanza shule za msingi ufundishwaji wao hauzingati vitendo vya kumwelekeza mjifunzaji.
Tumeishia kukariri na mwishowe kutofikiri kwa upana.
Mfano mzuri ni elimu ya sekondari/upili,huwa kuna majaribio ya kisayansi takribani masomo 5.lakini most of schools doesnt have laboratory.
Eti serikali inaandaa wataalamu,uku ikiwa imeshindwa kuendeleza shule za KATA ambazo zinazidi kufelisha wanafunzi.
Shule binafsi zanazodhaminiwa na kumilikiwa na watu/mashirika binafsi ndizo zinazotoa best students.
Mitaala mibovu isiyojitosheleza kutumiwa,elimu hii hii ndio inayotoa VIONGOZI wasio kua na upeo.
'kama ndiyo hivyo tunafanyeje kuleta changamoto za elimu tanzania??'
Tukiachana na hayo elimu kwa ngazi ya familia bado,baadhi ya makabila ukumbatia na kuendeleza Mira Potofu.
Naombeni nishie hapo make mengi machafu kuhusu elimu duni ya tanzania.
Tumeishia kukariri na mwishowe kutofikiri kwa upana.
Mfano mzuri ni elimu ya sekondari/upili,huwa kuna majaribio ya kisayansi takribani masomo 5.lakini most of schools doesnt have laboratory.
Eti serikali inaandaa wataalamu,uku ikiwa imeshindwa kuendeleza shule za KATA ambazo zinazidi kufelisha wanafunzi.
Shule binafsi zanazodhaminiwa na kumilikiwa na watu/mashirika binafsi ndizo zinazotoa best students.
Mitaala mibovu isiyojitosheleza kutumiwa,elimu hii hii ndio inayotoa VIONGOZI wasio kua na upeo.
'kama ndiyo hivyo tunafanyeje kuleta changamoto za elimu tanzania??'
Tukiachana na hayo elimu kwa ngazi ya familia bado,baadhi ya makabila ukumbatia na kuendeleza Mira Potofu.
Naombeni nishie hapo make mengi machafu kuhusu elimu duni ya tanzania.