benjamin shigallah
Member
- Sep 4, 2014
- 7
- 1
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
hii hapa hakuna clearing apoBhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
Hizo ni gharama za Beforward pekee. Rungu la TRA na bandari bado.Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
Hapana hiyo ina maanisha kwamba be forward watakupa pia huduma ya kukutolea gari bandarini (clearing agent).Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
Bhana we nataka kuagiza gari kutoka beforwad kwa mara ya kwanza, sasa ni hivi kuna kitu kinanichanganya hapa wanapoandika Dar es Salaam+clearing ina maanisha hapo mpaka TRA wanamaliza au hiyo clearing imesimama kwaajil ya nshu gani. Mana kuna dar es salaam bila neno clearing.
View attachment 1681883
inspection fee hmna..?Hapana hiyo ina maanisha kwamba be forward watakupa pia huduma ya kukutolea gari bandarini (clearing agent).
Gharama nyingine utakazolipa ni ushuru wa TRA, wharfage, shipping line, port charges na gharama ya kadi na plate no.
inspection fee hmna..?
uko vizur broWakati wa huu mjadala destination inspection ilikua haijawa clear ndio maana hatukua tunaizungumzia lakini kwa sasa yes itabidi ilipwe